letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de ashua - zuchu

Loading...

aaaanh aanh naah aaaah
marhaba marhaba habibi
tunda komamanga la kupachua
ooooh
mahaba mahaba yanzidi
kindimu changa chakuchachua
mmmmnh
tamu zaituni tunda la peponi nalila (nalila)
gamu ya sakafuni tunadundishana kipira (kipira)
napewa penzi sabuni linalontakasa madhira
huniita hunnie haiyuni mkali wa tatu bila (bila)
upepo wa pwani umenipeleka bara
niongoze usukani kwenye penzi barabara
wakati wako tamba
ashua eenh
ashua shuuu
ashua
ok baby jishongondoe
ashua eenh
ashua shuu(eenh)ashua
na roho zao ziwaume
ashua
ashua shuu
ashuaa
lolololoooh
ashua
ashua shuu(eenh)
ashua (eenh)
tuwachome mapakashume
oooohooooh ooooh
kweli mambo mazuri hayataki haraka ooh
haraka oohooh mmmnnh
kwa dua nimesubiri nimepewa nilichotaka ooh
nilichotaka oohooh mmmnh
penzi ninalinogesha (noga)
nampa mchicha ale (noga)
vinono vya kunenepesha (noga)
sambusa ya nyama tele (noga)
kisha namchangamsha (noga)
namchezea segere (noga)
mwali kujinengemusha (noga)
huku napiga kelele aanh aanh anh
upepo wa pwani
umenipeleka bara
wewe w-ngu usukani
kwenye penzi barabara
wakati wako tamba
ashua iiiiih
ashua shuu
ashuaa
ok baby jishongondoe
ashua eenh
ashua shuu (eenh)
ashuaa
na roho zao ziwaume
roho zao ziwaumeee
lolololoooh
ashua eenh
ashua shuu
wakikuuliza mbona huonekani
tunacheza solo na zumari ndani
eenh kuingiza kete shimoni
tunacheza solo na zumari ndani
na kwa malovie dovie
tunacheza solo na zumari ndani
michezo ya karata kulambishwa mavi
tunacheza solo na zumari ndani

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...