letra de penzi sumu - victoria gichora
verse 1:
kama ni kuthibitisha penzi langu kwako
si hoja
sheria nimevunja zote
au hizi hisia tutupilie mbali
ni mara
ngapi tumeshajaribu
or maybe wa faa uwache kiwa kipofu
twashikilia mwisho wa kamba
tuwache huu mchezo
uamuzi ni wako
sema nami… baby..
chorus:
nikuote nikuwaze nijone rohi utajuta songa mbele
lakini ni kikuona ninashindwa naumia roho kweli utajuta yote.
nazama
kwenye penzi nataka
sipati nione me mnyonge hapa
nakuhitaji
uniambie hii kazi si ya bure
verse 2:
kama ni maongeo ya wasiotuhusu lazima mitihani zije
niambie tu kinachokuzia uwe w-ngu
nitaipiganie penzi
or maaybee..wafaa ufungue macho uone
hakuna chaweza kuzuia
penzi ni letu na wakati ni wetu
sema nami baby….
chorus:
bridge:
ni mimi na wewe..
na ni wewe nataka
niamini sitakuacha,noo! baby..
nikuoneshe vipi
siniache mimi hapa nikiugua
nikiumia..
sema nami baaaby…
letras aleatórias
- youngt › letra de teenagers - youngt
- ueu › letra de six months - ueu
- akb48 team sh › letra de 持续的爱恋 (sustainable love) - akb48 team sh
- bankroll freddie › letra de go the distance - bankroll freddie
- fortay huskii chillinit › letra de meriton - fortay, huskii, chillinit
- cga › letra de demons - cga
- slimesito › letra de cobra - slimesito
- lit man t › letra de unexpected - lit man t
- lorenzo zo ferguson tall black guy › letra de the ride - lorenzo "zo!" ferguson & tall black guy
- konrad brzos janek badys › letra de taniec z diabłem - konrad brzos & janek badys