letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de penzi sumu - victoria gichora

Loading...

verse 1:
kama ni kuthibitisha penzi langu kwako
si hoja
sheria nimevunja zote
au hizi hisia tutupilie mbali
ni mara
ngapi tumeshajaribu
or maybe wa faa uwache kiwa kipofu
twashikilia mwisho wa kamba
tuwache huu mchezo
uamuzi ni wako
sema nami… baby..

chorus:
nikuote nikuwaze nijone rohi utajuta songa mbele
lakini ni kikuona ninashindwa naumia roho kweli utajuta yote.
nazama
kwenye penzi nataka
sipati nione me mnyonge hapa
nakuhitaji
uniambie hii kazi si ya bure

verse 2:
kama ni maongeo ya wasiotuhusu lazima mitihani zije
niambie tu kinachokuzia uwe w-ngu
nitaipiganie penzi
or maaybee..wafaa ufungue macho uone
hakuna chaweza kuzuia
penzi ni letu na wakati ni wetu
sema nami baby….

chorus:

bridge:
ni mimi na wewe..
na ni wewe nataka
niamini sitakuacha,noo! baby..
nikuoneshe vipi
siniache mimi hapa nikiugua
nikiumia..
sema nami baaaby…

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...