letra de penzi sumu - victoria gichora
verse 1:
kama ni kuthibitisha penzi langu kwako
si hoja
sheria nimevunja zote
au hizi hisia tutupilie mbali
ni mara
ngapi tumeshajaribu
or maybe wa faa uwache kiwa kipofu
twashikilia mwisho wa kamba
tuwache huu mchezo
uamuzi ni wako
sema nami… baby..
chorus:
nikuote nikuwaze nijone rohi utajuta songa mbele
lakini ni kikuona ninashindwa naumia roho kweli utajuta yote.
nazama
kwenye penzi nataka
sipati nione me mnyonge hapa
nakuhitaji
uniambie hii kazi si ya bure
verse 2:
kama ni maongeo ya wasiotuhusu lazima mitihani zije
niambie tu kinachokuzia uwe w-ngu
nitaipiganie penzi
or maaybee..wafaa ufungue macho uone
hakuna chaweza kuzuia
penzi ni letu na wakati ni wetu
sema nami baby….
chorus:
bridge:
ni mimi na wewe..
na ni wewe nataka
niamini sitakuacha,noo! baby..
nikuoneshe vipi
siniache mimi hapa nikiugua
nikiumia..
sema nami baaaby…
letras aleatórias
- letra de ernest hemingway - joshua powell & the great train robbery
- letra de луна-парк (luna park) - terelya
- letra de no worries - birdcloud
- letra de في مليون غيرك / one of many - sobhhï
- letra de you shall live - ted pearce
- letra de ghahreman (a hero) - emad ghavidel
- letra de chaos suprema - nurgle (grc)
- letra de down by the water - led to sea
- letra de devam etmeliyim - eskiz
- letra de better days (from one night in malibu) - onerepublic