letra de hurulaini - sir yongo
eh eh!
eh eh, eh!
baby wacha n′nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw-ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
baby wacha n’nene (wacha n′nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw-ngu mtimani (mw-ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
ashizo baby
letras aleatórias
- jonathan thulin › letra de jekyll and hyde - jonathan thulin
- jordan feliz › letra de 180 - jordan feliz
- jordan feliz › letra de pages - jordan feliz
- lovkn › letra de found in you - lovkn
- anatomy › letra de cauldron nebula - anatomy
- decibully › letra de my lighter and strings - decibully
- canyon city › letra de paper airplanes - canyon city
- hit boy feat sob x rbe › letra de wyo - hit-boy feat. sob x rbe
- the city harmonic › letra de jesus, i love thee - the city harmonic
- blockstarbeezy › letra de muddy waters - blockstarbeezy