letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de bls - shark d

Loading...

intro
jejejea
nachoamini kuna watu wanasema nafanya dix
lakini siyo kweli mimi sifanyi dix
this is not a dix
i’m here to find a peace

verse
baba wa mbinguni nipo mbele zako
baba wa mbinguni ninakiri mbele zako
dhambi nimetenda hakuna asiyetenda
niw-ngapi wametenda mbona baba wananitenda

wengi wana enjoy wana kula chips kavu
wengine wana enjoy wanakunywa juice ya dafu
wao na vitambi wanachanga rambirambi
wao na vitambi wana shehena za bangi

siasa ni kama movie bongo ni makusudi
hakuna wapinzani wote wamepigwa gundi
sanaa bila udi utapigwa na myahudi
na kuna team zinajengwa, zinajengwa bila fundi

baraza limejaa rushwa basata mnakwama wapi
michingo ina kwama sanaa ina fail wapi
acheni kulala lala amkeni mpige sala
acheni huo u– punguzeni mijadala
outro
baraza la sanaa sijui mnakwama wapi
michingo haiеndi wasanii hatupati haki
wasanii studio tuna hustle
na mtaani bado tunamwaga jasho

mmmmvvvu
the call shark d, geita city id
thе baddest k!ller, over

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...