letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de more flow - pudika mxhavela

Loading...

plan b mpaka zi tunapata code hakuna matata
hustler kwenye chochoro ma-deal napiga mpaka tu msata
ukijaribu kugusa  kwa tempa man-gger watakupakata
sio short mpaka long nikitoa kisu unachanga karata

all man-gger yoh know
time is dow, any time stay for
ukishindwa sema upigwe tafu forget makavu
epuka majanga na soo
pambana ngoma bado drow
yoh already know, stay safe don’t go
harakati pambe mpaka basi nalinda nafasi
ukigusa bom ama shot

somo la pain nilishasomaga kitambo n-gger na nikapataga a
kama viunzi nilisharukaga vikwazo, kejeli kw-ngu bado daily
kujichanganya kila harakati nifanye ili nisije ku-delay
local mikakati chanya mpaka hasi nahaso ili kesho puddy niwe famous

na nikifanya wanapata tabu
na kwa mungu napata dhawabu
roho safi thamani ya dhahabu
kila nachofanya kwao ajabu
mtanisoma kwenye vitabu
puddy gang nawapaga adabu
kwenye mechi nawapanga sub
hapa ni credit no sapp
hakuna urafiki kati ya male s-x
na hao marafiki ndio wanakuja hate
kwenye matatizo ndo wanapiga desh
amini imani pambana kijeshi

kila kitu mbona dua, hata kama usiopojua
ipo siku utajua, hata kama usipojua
ila utoweza jua, kama usipogundua
kama mdomo na pua, kipi kinachopumua

harakati haziishi kwenye plan deal done
wakijua ni mazishi naongеza new fan
nikitema matapishi wanameza bila gun
dеmu waki anashoboka kwa zangu tu new spam

unajikuta gangster halafu hauna kovu
unajibweteka halafu moja povu
kubari kuchekwa kataa maovu
tukipata tunasepa hakuna masozi

bint kadata anataka utamu
bila kash-sh- napatwa na hamu
binti kijora si anatabasamu
anataka tena na tena kalamu
eti kapenda marashi matamu
akiniona anatabasamu
umbo ni nane na sio karamu
anapenda kuvimba tu na pudy gang
kila kitu kishafanywa na magwiji tena bora ikibidi
tukazie tuwe high sio low
tulipotoka ni mbali ikibidi tuongeze mpaka speed
tutafute new plan mpaka dow
kama kiddy we utabaki kuwa kiddy mimi nitabaki kuwa puddy so kazana basi unipiku kwa flow
na ukijiona kama bado we ni pimbi
tafuta mingi shilingi ukazane mazima na uondoe soo
mdogo bado ila akili dingi kwenye ukweli sipingi
ukitaka kufoka kafokee vyooo
hao marapa hawawezi kama mimi na nikiweka umakini
one week tu nawatoa machizi
wana-force eti wanipige pin hawaamini mimi ni jini
kwenye njia zao mimi nawapa dozi
nikifanya kweli wanakaa chini wananipa mpaka wini
hongera nyingi mpaka naleta pozi

mpaka wataomba poo
hao mabishoo
hatuogopagi masooo
tulipotoka ni low
mpaka kwa dow
na mwanangu turbo boy
pigeni nyenga kwa vyoo
nyie mabishoo
hamuwez find dow
mazishi tun-z-ka drooo
na kwenye flow
watapata lavel o
story za wana ni madem
sterss haziishi kwa conken
mjuba hafungwi kwa madeni
kam kizuri kitu una-comfirm
sp-cial ngoma ni we can bang
kitambo wakanipa puddy gang
umiza kichwa kila sehemu sehemu
hapa ni moto fire say gang

waki-delay
nawapanga kwenye tray
wakigusa wata pay
money per day
n-z-saka kila day
hatuwazagi ku-fail
na tuki-fail
tuna-find new deal
na zina tiki i will
god ame-bless
kila place no stress
everything good is best

uwaki hatutaki mazima tunataka muda
shory kibati ila anaswaga za chuga
ngori ni ngori wanangu wa yego wanadunda
am puddy boy gang nipo na mwanangu boy lungo gang simba

hawakunipa nafasi na wakala bati thanks for all my tample gang
tupo cool safi safi part after part kipande kile wana-bang
vichwa panzi wape ganzi wakitaka zanzi wa-bless mwisho wapate bang
na hapa ni kazi kizazi kazi juu ya kazi nakaza ili kesho waombe game

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...