letra de acha waseme - otile brown
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk-mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w-ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
letras aleatórias
- bobby kim › letra de el camino - bobby kim
- j ax › letra de reale - j-ax
- whitfordst holmes › letra de whiskey woman - whitford/st. holmes
- radiohead › letra de prove yourself (drill version) - radiohead
- mrcs › letra de naam - mrcs
- x o cash › letra de mileage - x.o. cash
- nigma › letra de mortem - nigma
- bilinc › letra de nicest leaves - bilinc
- myke towers › letra de hechizo - myke towers
- essenger young medicine › letra de lost boys - essenger & young medicine