letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de 4:20 - nigga shawn

Loading...

(intro)
yeah, huh 58 tano nane
west boyz ndani ya building
tumezoza kwa tumezoza kwa

[hook}
tumezoza kwa mneti (kwa mneti)
kwenye scene ni ma yoh ka twenty (ka twenty)
na mayeza ziliwaka kama twenty (ka twenty)
ayo ile masaa ya 4-20 (ile masaa ya 4-20)
kwenye mic ni mabarz zile hectic (zile hectic)
bado kwa hood tunapoa na vibeti (ooouuuu)
nasaka nipate food kwenye plate g (kwenye pate g)
nasaka nipate food kwenye plate g (kwenye plate g)
tumezoza kwa mneti (kwa mnеti)
kwenye scenе ni ma yoh ka twenty (ka twenty)
na mayeza ziliwaka kama twenty (ka twenty)
ayo ile masaa ya 4-20 (ile masaa ya 4-20)
kwenye mic ni mabarz zile hectic (zile hectic)
bado kwa hood tunapoa na vibeti (ooouuuu)
nasaka nipate food kwenye plate g (kwenye pate g)
nasaka nipate food kwenye plate g (tunazoza kwa mneti)

{mr right}
ni m. rright tunzoza joh connection kwani me nacap si tunaeza bet
me msee mclassic na kiss pia ni french (mwaa)
picha ziko fly ukipiga na hii lens

{n-gga shawn}
niko on kwanza shika ukiset
hawa mafala hawanijui waonicheki tu kwenye net
kila day utanipata nikisweat
ndo niweze kuweka kuweka kuweka food kwenye the plate
mr right maze hit iko tight
ikibidi ni maleft left left na ma right

{mr right}
yoh kwenye fight tick tick cheki time
niko biz my dear hukua hard kunifind
naweza rewind ama forward
niko on speed so na take off kama foward
usinitry izi ends akuna msee atakuokoa
anyway n-gga shawn tunahang na wapoa
{n-gga shawn}
tunahang na wapoa
bado kwenye stu ni mabanger tunatoa
waliwaka moto tukikam wakapoa
moshi zimewaka hadi joh tunakohoa
nimekula shida but sa ii niko poa (niko poa)
nimekula shida but saa ii niko poa (niko poa)
ni we ni west boyz ndani ya building
ni west boyz ndani ya building

[hook]
tumezoza kwa mneti (tumezoza kwa mneti)
kwenye scene ni ma yoh ka twenty (ni mayoh ka twenty)
na mayeza zimewaka ka twenty (zimewaka ka twenty)
ayo ile masaa ya 420 (ile masaa ya 420)
kwenye mic ni mabarz zile hectic (zile zile)
bado kwa hood tunapoa na vibeti (tunapona vibeti)
nasaka nipate food kwenye plate g (yeah aah)
nasaka nipate food kwenye plate g (ile masaa ya 4-20)

tumezoza kwa mneti (tumezoza kwa mneti)
kwenye scene ni ma yoh ka twenty (ni ma yoh ka twenty)
na mayeza zimewaka ka twenty (zimewaka ka twenty)
ayo ile masaa ya 4-20 (ile masaa ya 4-20)
kwenye mic ni mabarz zile hectic (ni mabarz zile hectic)
bado kwa hood tunapoa na vibeti (aaaaaaaha)
nasaka nipate food kwenye plate g (yeah)
nasaka nipate food kwenye plate g (yeah yeah aah)
(outro)
kwani ni kesho m.r.r.i.g.h.t
ni west boyz ndani ya building
ni west boyz ndani ya building
n-gga shawn tumezoza tumezoza
tushazoza kwa mneti tushazoza kwa mneti tushazoza kwa mneti n-gga shawn n-gga shawn
call the motherf-kcin cops!

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...