letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de hakuna matata - muddah

Loading...

[intro]
yea
manze itabaki mmerelax kiasi joh
ju nadai k-mada beat si watu
nahawa watu wakileta ufala pia tunawamada au sio??
check
aah, look

[verse 1]
aah man am coming from the land where hakuna matata
k e n y a nchii ya watu w-ngwana
watu wa maana
i got say this bila kugwaya
middle finger to all the cats hao hutubeba ufala
so like, am on some sh-t like man f-ck this industry
if i don’t make it then f-ck this rapping this rapping sh-t
yes lord man am so grateful my clique is here with me
ntarep lifetime kila siku two three till the death of me
aah, na mi nimambo beard(bad) james harden
bonga ufala mneti tukikutana round ingine joh mabare
hii ni nare real definition ya sk!lls na bangi
hope hizi bars day moja manze zitabuy gari
au land budhalangi
eyo, we just grinding
reason why daily manze utatupata tuko outhere
na f-ck fame mi naidu ju ya ganji
utadhani mi ni zesta vile manzi yako anadai nimkate
aje??
hadio warasta wanawika what a gwan?
yo kiwashe make sure ime go left tukiburn
wapashe, ndio wajuange joh tukikam
nawa beat ka snare, hats pia na ma drum
so asha bulb before niku alshabab
kaa rada hope unani understand
rende yangu mse haucheki inakaa wu-tang clan
two three we out here
check us here we come
dammmnn…
ahh, yea yea
sh-t
skiza…
hook
na hauskii joh hakuna matata
na hauskii joh hakuna matata
hauskii joh hakuna matata
k e n y a nchii ya watu w-ngwana
na hauskii joh hakuna matata
hauskii joh hakuna matata
hauskii joh hakuna matata
k e n y a…..

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...