letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de chini chini - matata

Loading...

[intro: ken]
matata, matata
okuonkwo
niko wera prr prr nacheki message ig
napiga marashi psh psh naseti fiti hygiene
nacheki msupa na dera na vile amebeba ka vera
na vile anatesa ka terroa shape namba nane kibera

[chorus: freddy]
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
its a monday but am on a friday vibe
tuesday but am on a friday vibe
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
wednesday but am on a friday vibe
its a thursday but am on a friday vibe
[verse 1: fezzoh]
uhh ahh cheza chini chini
chupa leta mbili mbili
ni-na madem wawili wili
na nina ganji inaniwasha ka pilipili
who dat amedunga mini
huddah cheki hio mwili
mwambie sibongi lugha ingine ka si kiswahili
na nina miti anaweza swing nae ka tumbili

[hook: richie}
ahh anapika githeri na gas
ahh anapika chapati na pas
ahh anapenda vile me na dance
niki puff na pass niko khat na grass

[chorus: freddy]
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
its a monday but am on a friday vibe
tuesday but am on a friday vibe
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
wednesday but am on a friday vibe
its a thursday but am on a friday vibe
[verse 2: marcus]
mi hupenda wasupa gw-ngi na madiva
mi hupenda nikiwa nyanya nimeiva
mi hupenda nikiwa whisky uko river
mi hupenda chafua shingo na masilver
we hupenda kupika githeri na gas
sijui ni kuomoka ama ancestors curse
basi ka ndo form pika chapo na pasi
ukifika club watilie mchele wa n-z-

[hook: richie]
ahh anapika githeri na gas
ahh anapika chapati na pas
ahh anapenda vile me na dance
niki puff na pass niko khat na grass

[chorus: freddy]
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
its a monday but am on a friday vibe
tuesday but am on a friday vibe
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
wednesday but am on a friday vibe
its a thursday but am on a friday vibe
[verse 3: mejja]
nimelipwa tuesday nimesave kidogo
pesa ingine nimetumia mukuro
pesa kiasi nimenunua stockooo
ile imebaki ni ya pombe na watoto (ahh ahh)
ambia sabina ajienjoy, leo hatuendi kulewa sabina joy
niko na doh ya kukunywa huko uptown
lakini kwanza kanuthu apo downtown
tunalewa na ni tuesday niko na doh ya kuparty ka furdahi day
niko busy na watoto bariki mzinga i slap kwa matako
asubuhi ndo naingia kejani, kwa stairs nakutana na jirani
wanani judge lakini sijali ju naenda kunyandua mali safi, eh!

[chorus: freddy]
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
its a monday but am on a friday vibe
tuesday but am on a friday vibe
uuh ahh cheza chini chini
uuha ahh cheza chini chini
wednesday but am on a friday vibe
its a thursday but am on a friday vibe

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...