letra de bembeleza - marlaw
nipesa simu nibembeleze
hey hey h-llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui bembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kila time nakuangalia usoni ma
sio kamaa nakosa neno kusema
ulivyo ma anafanya kosa kunena
ingawa moyo hautaki kunena tena
wazo kichwani lina beep (kukueleza)
ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
nahisi sijui bembeleza
utakataa halafu mi utaniumizaa
kidesign nakuangalia usoni ma
kuna sign za kuita huko machoni ma
kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
unachotaka nianze mikusema
hapa unafanya nijione (nitashinda)
hapa unafanya nitamke (nakupenda)
ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausеmacho machoni
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
pleasе usikate ma
hey hey h-llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h-llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
kitu ambacho moyoni siridhikii
nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
inajionyesha machoni unaafiki
lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
oooh aaah, aaah
kwenye party ulikuja umependeza
kwenye traini ukaniomba mi kucheza
tukadance na macho umelegeza
ulinibamba nikaficha kukueleza
unanimaliza
mimi ninakweleza
minakupembeleza
baby please baby girl
vile unatamka
wewe kuona nataka
tuonge ana kwa ana
baby please baby girl
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
please usikate ma
hey hey h-llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h-llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
hooow (hooow)
sasa kama (kama)
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
letras aleatórias
- coficarrera › letra de faded with elissa - coficarrera
- tuxx › letra de beat up the bouncer freestyle - tuxx
- realliveanimals › letra de fruitas - realliveanimals
- luce collective › letra de shawty - luce. (collective)
- ohcutestar › letra de blunts n roses - ohcutestar
- sadeyes › letra de identify theft - sadeyes
- hoppingbags › letra de thr0win up - $hoppingbags
- jason michael carroll › letra de pass it on around - jason michael carroll
- mydee 52 › letra de pipe - mydee 52
- yqwo › letra de major league gaming - yqwo