letra de ngwatila - manasseh shalom
chai!
[verse 1]
siku moja nita-angaa
nivuke kwenye milima
maisha haya yataomoka
shida ziongezeke
[chorus]
lakini n’takuwa na wewe
nipambane na wewe
asubuhi tufike na wewe
ngwatila
mwendwa kwatila
ndukadie ngwatila
asubuhi tufike na wewe
[verse 2]
marafiki walitudharau
baby tutawasili
hawakujua
kwamba maisha
maisha ni mviringo
masengeny’o tumewachia
ambao hawana utu
kazi tutachapa
mikono itoe moshi
siogopi aibu
[bridge]
‘sababu n’takuwa na wewe
stay with me
tufike na wewe
shikilia na mimi
one day we will make it
[verse 3]
mola nikifika naomba nisiringe
niwe fahari ya nyumba ya baba yangu
niweke kiboko nikiwadharau
wanaopanda mbegu
mola nikifika naomba nisiringe
niwe fahari ya nyumba ya baba yangu
niweke kiboko nikiwadharau
wanaopanda mbegu
[chorus]
naomba niwе na wewe
uuh! nifike na wеwe
nipambane na wewe
maisha n’malize na wewe (na wewe)
niwe na wewe
nifike na wewe
nipambane na wewe
maisha n’malize na wewe
ngwatile
mwiai ngwatile
ndukandie ngwatile, ngwatile
maisha n’malize na wewe
letras aleatórias
- the homesick band › letra de gucci gucci - the homesick (band)
- the osmonds › letra de kay thompson's jingle bells - the osmonds
- tej dillon › letra de fym - tej.dillon
- the monkees › letra de some of shelly's blues - the monkees
- dj lucas › letra de first words - dj lucas
- devour the day › letra de blackout - devour the day
- the hobos › letra de walk all night - the hobos
- space cocktails › letra de fleurs de neptune - space cocktails
- vox ipsissima › letra de escape - vox ipsissima
- perkons › letra de lūgums - pērkons