letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de sitabiriki - ksonrap

Loading...

it’s a boy ksonrap
right here
you know what i’m sayin’
it’s going down
yeah
listen
what goes around… comes around
utavuna ulichokipanda

[verse 1: ksonrap]
nimebobea kwenye beat kama rap scala
bongo nai to kampala;
natisha nipo very deep kama ziwa chala;
ngumu ku impress hii medula hii mistari hela n-z-gawa kama bank taller;
siitaji wakunimanage sio tale wa fela;
king of best melody kama bella;
naichimbua rap archeology sina peace na mawaki nimewatupa jela;
zingatia itifaki uhuru ni wa bendera waliosema watadumu wapo hoi kwenye machela;
n-z-di kuyatupa makombora;
africa mashariki mkokenya mkombola;
kada kwenye chama zaidi ya palla natawala;
hizi level hawafiki wafupi kama mwala;
hili chimbo hasmati ameyatimba rockarfella;
leo umenikuta kwеnye ubora kwenye chati kama dollar
thrillеr in manila;
pisha kwenye barabara nimejaza vina kama abiria kwenye daladala za mbagala;
hauna stamina kiuwezo wao bado nikabwela;
dula makabila nawacontrol kama drug dealer;
mi silent k!ller sio mikwara wasaliti nawatoa tu kafara;
mwendokasi ruti ndefu kama mbezi ya kimara;
a luta continua nilipotoka ni majanga na misala;
[chorus: afrokidayo]
sitabiriki ,sishikiki ,sipimiki yee!
sitabiriki ,sishikiki ,sipimikiii yeee!
kwenye mvua na juaaa
kote nimepita nanani anajua?
eeee! eeeee..

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...