letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de walikuja wakapotea - k son rap

Loading...

(walikuja ..walikuja… wakapotea..
(walikuja wakapotea..x2)
alikuja top c kwasababu ya ulofa akapotea..akaja mr nice akavuma akapotea.. pnc akasema wenzake wamebuma.. ikafika zamu yake akapote..mnamk-mbuka babu seya..mzee wa konkifire alisema atabaki kileleni.. mbona kapotea..hamorapa miatisa itapendeza..naekapote life haiko fair.. bash-te koromije akatrend akapotea…akaibuka konkimaster dudubaya faster akapotea..kilichompata mwanajua wa dizasta..kimepata na sabaya..kule arusha.. alisema yye ni jiwe kweli kweli mbona kapotea..mwenda zake kaenda zake..waliobaki niwachache..akaibuka mzee mpili akashuka kwa kishindo kwenye jangwa la utopolo ghafla akapotea..waliopata umaarufu wakauchezea wengi wamepotea..kijana mteja daz baba maji ya shingo nae kapotea..kipindi kile cha ambikile.. alinipishe.. hakudumu sana kwenye tasnia akapotea..atokee jasiri aongoze njia..maana baada ya kufa kanumba bongo movie kwenda international ikapotea..

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...