letra de nitachana - k son rap
(verse 1)
nitachana mpaka uzee kama sugu../wakiloga nitachana kwa ishara kama bubu../sitoacha nitachana kama rado kwenye kutu../kama stopa nitachana style zaidi ya tatu../nini tuzo nitachana kama nash msinipe ata buku../piga kiki piga snare mandavaku nitachana bila guitar bila dufu../nitachana kwenye nguzo na misingi bila promo za mabantu../gangsta nitachana kama guru../nitachana kiukombozi fikra ziwe huru../mkinipa mic nitachana mpaka ikulu../miaka tele nitachana kama salu..t/nitachana kama slouta wa majitu../mtoto wakiume nitachana kama geez mabovu../nitachana kama wembe wabaki na makovu../kitaani most wanted nitachana kama d kn-b..nitachana kama d rob../nitachana kino nitaibeba mabegani kama nyandu../nikiondoka mnik-mbuke kama dandu../nitachana kama lufu kwahizi kiki heavy kama lindu../hakuna chakuogapa chini ya mbingu../sitochana kuhusu chuki wala wivu../nitachana kiafrika kwa baraka za machifu.. masharifu.. mawalii manabii watukufu../turudi kwenye tamaduni zetu sasa ndo nachana deep kama mansulii kina kirefu../(“sinza sata”) rest in power mac2b
(verse 2)
nitachana kama s.og..buff g kiujamaa../nitachana kama solo thang kiulamaa..nitachana kama gangwe luten kalamaa../sitoogopa nitachana kishujaa..
nitachana kama cannibal na sharma../
nitachana kama zizzi lakuchumpa bei chee halina garamaa../nitachana kiprofessional kama fid../bila weed bila drugs nitachana kama chid../rasta bila dreadlocks nitachana kama mchizi mox../ghetto boy nitachana kama bibo climax../till i die nitachana canabino conboi..kwahizi tungo zenye stanza adim..nitachana kama sogydoggy kwenye kibanda cha cm../sina kikosi kama pina nitachana kama dogo hashim../yoo kibongo kinyamwenga nitachana kama saigon../.kama nature hili game taff kwеli.. nitachana kama raff nelly../back to the sua nitachana kama sight more../kama squeezеr kwa ubishi na hasira mimi naja nitachana kama d na k wamapacha../kwenye kipaza nitaubiri kama pastor../nitachana kama zuzu tmk kwenye kinasa..nitachana kama kwanza na kibacha../rivacamp nitachana kama bonta..jua likizama ndo nitachana kama nyota../
letras aleatórias
- jankat › letra de 19-23 bootleg part 2 - jankat
- playburst › letra de what's wrong with love? - playburst
- maor edri מאור אדרי › letra de machrozet mehalev - מחרוזת מהלב - maor edri - מאור אדרי
- shiversnowy › letra de !bih go dummy! - shiversnowy
- sunshine christo › letra de look great - sunshine christo
- saxkboy kd that mexican ot › letra de gucci rugs - saxkboy kd & that mexican ot
- liam st john › letra de sweet little june - stripped back - liam st. john
- mlodyksuch › letra de 54545454 - młodyksuch
- the vanguard project › letra de alone - the vanguard project
- gweilo ghost › letra de hole in 1 - gweilo ghost