letra de unaniweza - jux.
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
letras aleatórias
- blanco white › letra de colder heavens - blanco white
- alvaro diaz › letra de donde están mis $$ ? - álvaro díaz
- kool the gang › letra de raindrops - kool & the gang
- magic city hippies › letra de limestone - magic city hippies
- maria szymanowska › letra de świtezianka - maria szymanowska
- original broadway cast of hamilton › letra de yorktown (the world turned upside down) - original broadway cast of hamilton
- jayaire woods › letra de out on a limb - jayaire woods
- big grams › letra de goldmine junkie - big grams
- shinigami › letra de loser - shinigami
- j k the reaper › letra de pull up - j.k. the reaper