letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de ndonga - jay melody

Loading...

[verse 1]
dua ilo katisha, eti mvua isiyeshe
hiki kihali, kipite mbali tulia acha mapepe
ana pepea mtima, hapa nangoja nideke
kwambali zumari kombe la chai yani walete walete
eti anacheza mkomboti wa chawidu
na uno -n-likata yani mudogo mudogo
macho legeza malaini kama mwidu
najichezea karata nywele tozi la kikongo

[chorus]
oh mimi sa napagawa changanya
naumia ndonga
oh oh oh anavyo nichanganyia uhondo
naumia ndonga
oh mimi hata sina lakufanya
naumia ndonga
oh oh oh anavyo nichanganyia uhondoh
naumia ndonga
badi badi badi

[verse 1]
limziki sabufa
fujo zote humu ndani
nawapigia kelele
mnisamehe majirani
tumezibwa ukuta
ndani raha rubudani
naye ndo boss na leo yuko na mie chawa
oh baby mchanganya utosi mchanganya dullah
au niwe kivurande unipe za don masha churah
oh baby mchanganya utosi mchanganya dullah
nalo penzi litutande wakati tunataka kula
[chorus]
oh baby sa napagawa changanywa
naumia ndonga
oh oh oh anavyo nizidishia uhondoh
naumia ndonga
oh baby hata sina lakufanya
naumia ndonga
oh oh oh anavyo nichanganyia uhondoh
naumia ndonga
badi badi badi

mussa babaz wa babaz
wa mama jay baby

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...