letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de bakhresa - harmonize

Loading...

bounty
bakharesa
bakhre, bakhre

bakhre, bakhre
bakhre, bakhresa

yeah
konde boy call me number one, number one
bila shaka haujawahi k-muona hata kwa sura
boss wa karibia unacho kula
huwezi muona kwa tv ata kwa dharula
ingawa yeye ndo nwenye king′amuzi

hana time na mitandao yani kuuza sura
yupe buzy na mafao pesa mlungula
angetaka kupita nao wote angeshakula
hana huo muda wa makuziii

masikini anawapa mitaji wagawane
na watu wazima
huwezi muona kwenye picha na wajane
au mayatima

hawezi kujisifia nyumba
wala magari range na bimaa
riziki anagawa muumba
jalajalali kikubwa uzima

sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
uwenda ushapishana nae kwenye foleni
maana sio mtu wa kupop mashampeni
yeye sio limbukeni yeah

mfano wa mtu mwenye pesa
ooh pesa aaaah
we mtazame bakhresa (bakhresa)
mfano wa mtu mwenye pesa aah
ooh pesa aaaah
we mtazame bakhresa (bakhresa)
i wanna smoke some weed uuh uuh uuh

uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
uuh uuh uuh, uuh uuh uuh
uuuh uuh uh, uuh uuh uh
bakhresa uuh, bakhresa uuh aah

bakhresa hajawahi kugombea cheo
au kujisifu na maendeleo
hawezi kushika pesa akazigawa
hivi ushasikia bakhresa ana chawa

akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah
ghalibu boss wa yanga na gsm
yeye ana utaratibu
wa kwenda kwa mkapa kucheki game

sio mbaya ila uwezi k-muona bakhresa
akijisifu na pesa
na majigambo rumbesa
bakhresa aah aah

natanzania pekee aliyee juu ya bakhresa
ni raisi wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
ooh and guess what mama yuko peace
na ukimuona ametokea
akiongea ni kwaajili yetu sisi

wakati unajigamba wa mbezi beach
bakhresa ana mashamba huko kijichi
ebu acha ushamba pesa haijifichi
eti i gat too much money am so rich

mfano wa mtu mwenye pesa
ooh pesa aaaah
we mtazame bakhresa (bakhresa)
mfano wa mtu mwenye pesa
ooh pesa aaaah
we mtazame bakhresa (bakhresa)
i wanna smoke some weed uuh uuh uuh (yao yao)

tell them boys we got this new money, na we leave low key baby
the mix k!ller (jeshi)

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...