letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de bad manners - gwaash

Loading...

tuko sherehe na haitaki hasira
haitaki mabombo man-gga
inataka tu makwanto wameiva
bill nitalipa kwanza ka ni kuririma
a for apple na b 4 k-n-li
sijai kata gwil, kata gwil katikati sipati
nakata barley pahali haifai
(sipati nakata barley pahali haifai)

ka bado unapima cheki venye naifanya
bado tuko baesa beach ni bad manners
kama kuna giza huh, utaitana
bado tuko baesa beach ni bad manners

beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!

sifuatani na umati najimess kama bangi
aliponwa na mababi, ye si gwaash ye ni bani
si mkate na ukapi jo mchai na amani
alimess akabaki ako nditi ju ya haki
hatakikani na umati, akitoka atabaki
hii ndo worry kwa mzazi tusilete za uzani
nime nime, nimeua

tuko sherehe na haitaki hasira
haitaki mabombo ma n-gga
inataka tu makwanto wameiva
bill nitalipa kwaza ka ni kuririma
a for apple na b 4 k-n-li
sijai kata gwil, kata gwil katikati sipati
nakata barley pahali haifai
(sipati nakata barley pahali haifai)

ka bado unapima cheki venye naifanya
bado tuko baesa beach ni bad manners
kama kuna giza huh, utaitana
tuko baesa beach ni bad manners

beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!

we ni mrastaman duster umeweka kwa kichwa
we ni kimaster ama pastor dula kufichwa
we unaelew-ngwa ama unaelewa
we unaelew-ngwa ama unaelewa aah aah
hapa sinao mbogi ni ya warasta
wasupa kwa mareggea kwa snapchat
mazigi jo tutinge madasha
anakupa resha tunapull up na mabiang’a
na hii majani sio ya kericho ni ya kabianga
ilianza ka kikolo sa hii ni pyenga
nina seska imenijazia weather
oooh bareta bakmanyu ya refa
nina mazigi ka nichi na kondiko mia
netflix maria na kwandoses mia
macookie ndio hizi beib nimemshikia
rookie lakini leo bado ana rukia
backbench na mi si mahabusu
freaky friday naget loose na lucy
thika highway ma gright na ngusu
pigwa waya ka zuku, roaster nikiwa area si ziwake
flash flash ka ni tei ama mbotke
faster tuzidi daus hadi shoke ala
na uekange chilli iokote

tuko sherehe na haitaki hasira
haitaki mabombo ma n-gga
inataka tu makwanto wameiva
bill nitalipa kwaza ka ni kuririma
a for apple na b 4 k-n-li
sijai kata gwil, kata gwil katikati sipati
nakata barley pahali haifai

ka bado unapima cheki venye naifanya
bado tuko baesa beach ni bad manners
kama kuna giza huh, utaitana
tuko baesa beach ni bad manners

beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!

ati vile kanawhine na mi ni mtu makali man
ex w-ngu bado huniita mr candy bar
nilikuwa namkunja hadi akaban church
na temper zangu huziwezi nikipiga cham
nikipatana na battyman mi hujam
na pongi ziko kila area kwanza town
hakuna kitu so sweet kama pongi na herb
usishow kila dem kwako welcome
utapata ni well hautakam haraka
kata hiyo tenje mami nitoe hii mjulubeng
nikikata hiyo nunu juu ya bed kama bell
nikikaza kiumahuru hadi pongi ikuwe wet
nikubeng mjulubeng hadi malate

tuko sherehe na haitaki hasira
haitaki mabombo ma n-gga
inataka tu makwanto wameiva
bill nitalipa kwaza ka ni kuririma
a for apple na b 4 k-n-li
sijai kata gwil, kata gwil katikati sipati
nakata barley pahali haifai
(sipati nakata barley pahali haifai)

ka bado unapima cheki venye naifanya
bado tuko baesa beach ni bad manners
kama kuna giza huh, utaitana
tuko baesa beach ni bad manners

beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!
beach ni bad manners, manners ah!

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...