letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de ntashinda - diamond platnumz

Loading...

[intro: chege & diamond platnumz]
check it out
oh na na na na na na na
eh eh eh
oh na na na na na na na
eh eh eh
oh na na na na na na na
eh eh eh
oh, this is the remix
oh na na na na na na na
oh oh oh
[verse 1: diamond platnumz]
salamu zangu za kwanza
ah, ziende kwa mola na mama
za pili chamng’aza
oh, mwambie asante sana
za tatu dada angu
asma na halima kimwana
oh, mie usijali
sijachoka napambana
hii dunia ina mengi
yenye raha na matatizo
ogopa mapenzi
oh, maana waga shinikizo
hii dunia ina mengi
yenye raha na matatizo
ila sio mapenzi
ndo huwaga chanzo cha vita…

[chorus: chege & diamond platnumz]
oh na na na na na na na
(oh, najua wananpinga)
oh na na na na na na na
(ila naamini ntashinda)
oh na na na na na na na
(hata wewe unapingwa…)
oh na na na na na na na
(ila amini ntashinda)
[post-chorus: chege & diamond platnumz]
ayayayaya (hey)
ayayayayaya (hey)
ayayayaya
(oh, tena raha na matatizo)
ayayayaya (hey)
ayayayayaya (hey)
ili mradi wakuharibie

[verse 2: diamond platnumz]
mola
oh, nilinde rafiki zangu
na
uwape upendo ndugu zangu
mola
oh, nilinde na tale w-ngu mimi
na
niwapende na maadui zangu
tai
nnaonekana mjinga ila kwetu ulefunzwa
ndio maana kila wasemapo huwaga nakuza
vimaneno maneno
haviwezi niuguza
sio siwezi
najua ndo chanzo cha vita…
[chorus: chege & diamond platnumz]
oh na na na na na na na
(oh, najua wananpinga)
(mi najua sana) oh na na na na na na na (sana)
(ila naamini ntashinda)
(oh, naamini) oh na na na na na na na (naamini)
(hata wewe unapingwa…)
(hata wewe) oh na na na na na na na
(ila amini ntashinda)

[post-chorus: chege & diamond platnumz]
ayayayaya (hey)
ayayayayaya (hey)
ayayayaya
(oh, tena raha na matatizo)
ayayayaya (hey)
ayayayayaya (hey)
ili mradi wakuharibie

[chorus: chege & diamond platnumz]
oh na na na na na na na
(oh, najua wananpinga)
(najua sana) oh na na na na na na na (sana)
(ila naamini ntashinda)
(naamini) oh na na na na na na na
(hata wewe unapingwa…)
oh na na na na na na na
(ila amini ntashinda)

[bridge: diamond platnumz]
oh oh oh
ah, ziende kwa mola na mama
ah ah ah
umwambie asante sana
oh oh oh
tonsa mwamba au karama
imma
umwambie tumi asante sana

[outro: diamond platnumz]
eti tuddy anaringa
q boy anaringa
mara romy anavimba
kuzusha zusha bwana
aga, chege anaringa
sota anavimba
mkubwa fella anaringa
ili mradi tu lawama
(wasafi…)

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...