letra de mapenzi - bahati
wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana, mapezi yana tesa zaidi ya money×2
yalimtesanga kakangu zamani, nyumbani kawa kisirani.washirika wakatoka kanisani,, yalimtesa kakangu zamani wameyaiba kwa burudani, mwenyewe ayaonyesha msalabani
oooh oh ooh ohh mapezi mbona utatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nilifunzwa na babu alivyo mtunza nyanyaa.nikasoma kwa baba naye anavyompenda mamaa×2
na adamu akampenda hawa sababu akala lile tunda.hapo ndipo dhambi kazaliwa,, unak-mbukaa weee na adamu akampenda hawa haraku ndo maana tunalia.kwa mapenzi inafanya tunacheka,, unanipataa.
oooh oh ooh oh mapenzi kwanini unatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nkaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata w-ngu., mtoto wa mama.mbona unatesa mapenzi.mbona unatesa kwai nini,, mbona unatesa mapenzi
kazini, nyumbani, kanisa inasema
ooh ooh ooh oh mapenzi kwa nini unatea tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
letras aleatórias
- fuck trap ivan › letra de yogurt de coco - fuck trap ivan
- dead posey › letra de freak show - dead posey
- ali b › letra de stiekem gedanst - ali b
- phoebe green › letra de high - phoebe green
- rita wilson › letra de every day - rita wilson
- timothy brindle › letra de hell - timothy brindle
- timothy brindle › letra de fix your eyes - timothy brindle
- brett eldredge › letra de let it snow! let it snow! let it snow! - brett eldredge
- deva premal › letra de moola mantra, part ii - deva premal
- piney gir › letra de river song - piney gir