letra de mapenzi - bahati
wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana, mapezi yana tesa zaidi ya money×2
yalimtesanga kakangu zamani, nyumbani kawa kisirani.washirika wakatoka kanisani,, yalimtesa kakangu zamani wameyaiba kwa burudani, mwenyewe ayaonyesha msalabani
oooh oh ooh ohh mapezi mbona utatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nilifunzwa na babu alivyo mtunza nyanyaa.nikasoma kwa baba naye anavyompenda mamaa×2
na adamu akampenda hawa sababu akala lile tunda.hapo ndipo dhambi kazaliwa,, unak-mbukaa weee na adamu akampenda hawa haraku ndo maana tunalia.kwa mapenzi inafanya tunacheka,, unanipataa.
oooh oh ooh oh mapenzi kwanini unatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nkaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata w-ngu., mtoto wa mama.mbona unatesa mapenzi.mbona unatesa kwai nini,, mbona unatesa mapenzi
kazini, nyumbani, kanisa inasema
ooh ooh ooh oh mapenzi kwa nini unatea tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
letras aleatórias
- letra de amore e odio - sosa & young avocado
- letra de baader-meinhof blues nº1 - capital inicial
- letra de hd - hd beatz (korean)
- letra de hoop dreams - hoodrich pablo juan & danny wolf
- letra de kassenautomat - finch asozial
- letra de smitty werbenjagermanjensen - wa$hington(rap)
- letra de i need you now - lauren marsh
- letra de funeral song (vain elämää kausi 9) - ellinoora
- letra de undercover (devault remix) - kehlani
- letra de relevant - johnny green