letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de rada chafu - amir 300

Loading...

doh za fom za tokwa ndom
so hakuna vile nitareform kuna snitch alireport
nikabambwa na mandom nikatokwa adi madoh
na madoh zilikua adi niza bro na my bro alikam through last minute time ya doh

rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu
rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu

siezi complain ju ya compe niko solo
flow ni ya kibongo minamix na kicongo
naroga na kimombo wanadhani natoka bondo
high to the o-zone down to the sea
eight likes out of us im the flying overseas
ata time nilidunga nappy minilidunga za versace
minime dunga za wasafi na mnakuanga na utiaji
hawa marafiki wanafiki wanakuanga tu makafi
waskize tu muhktasari wapashe wakuhabari
habari za hivi punde ni kama mi ndo king

rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu
rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu

walileta fracass bila shaka walitoka siaka
all the rappers wametense wakimcheki kwa dirisha
na ni marachi forty eight hood for lifе nawakilisha
izi enzi za kubeg na mmekam kuchachisha zimеwai sina ndae
na wapoa wanadai kuride kameslide nikashy na kana penda mangwai
im just vibing on this b-tch while im smokin broccoli
all my bros wako grindin mode runnin mode ka dynamo
we break the law we praise the lord ka ni doh tunataka mob
mess na mob tukushike koo life yuapanga f-ck mambanga
hawa mambleina huleta drama put the dramas down spread your dreads out
rasta party what a gwaan tuko trapping juja na waras eastleigh
tumedunga vans na mafans wako tu majani mbogi taliban so usimess na gang
shes a rasta girl ye hupenda vile mihu trap
lord knows that i sin lord knows that i simp lord knows that i k!ll
time chasings this millis nimerock to amiris na wapretty wananikiss
wakiniguza guza ndizi minadhani wanadai tizi with the ghetto king
still in the streets minaskia screams ati my verse ili k!ll
basi si mimi walipick wanangoja nifike peak ndio wanicall
aki ya nani sitapick minavibe tu na beat usidhani nakudiss
ka si beef siezi mind coz iam a beast bila leash
man a smoking cannabis minafeel canabi
praise the lord ka rabbi tuma sadaka na paybill

rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu
rada gani uko pande gani rada chafu
rada gani mteja hupatikani rada chafu
rada gani skuizi huonekani rada chafu
rada kwani nasakwa na nani rada chafu

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...