letra de makonzi - zuchu
[intro]
lg ih
lg ah, ah ah
mr lg
[verse 1]
ndo kakwambia ataniacha
haha hehe unachekesha sana
hizo ni ndoto za alinacha
haha hehe anakundanganya
hata umpe nini
hunin’goi unajisumbua mwaya
huyo bila mimi, hatoboi
nimemshika pabaya
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
[verse 2]
kwanza unitambie umenizidi nini
kubattlle na mie
uje na wenzako tisini
uliza uambiwe
mimi mtoto wa nani (kapaa)
ukijifanya chawa
mi mwenzako kunguni
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
letras aleatórias
- letra de drama - omnimar
- letra de birth control turns women into whores - tzarbombah
- letra de təzə bəy - manaf ağayev
- letra de painted gold - lukas ferdinand
- letra de icantfocus - femboy$
- letra de baby weemus - nino tempo and april stevens
- letra de nouvelle ère - mickaël pouvin
- letra de heresy - miss vincent
- letra de viviendo - kenny costoya
- letra de повод (occasion) - niki len