
letra de hurulaini (feat. fo'real beatz) - sir yongo
[intro]
it’s sir yongo!
eh eh!
eh eh, eh!
[verse 1]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw-ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
[verse 2]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw-ngu mtimani (mw-ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
[outro]
ashizo baby
letras aleatórias
- letra de they call me shaydez - red shaydez
- letra de our revolution - within shadows
- letra de khaali khaali - hiku singh himanshu prod. riddiman - hiku singh himanshu
- letra de black panthers - yung fume
- letra de huśtawka - chillwagon
- letra de still - daria kromberg
- letra de dedication - braille
- letra de speak up - freddie dredd
- letra de funk 150 bpm do domenec - dj vitão
- letra de наш delorean - alex iloven