letra de umenifaa - nandy
[intro]
wakati wa shida
wakati wa shida
huniepusha huniepusha mimi
umenivusha
[verse 1]
ni wewe
ulinipa njia pasipo kuwa na njia, ni wewe
ulinipa chakula wakati wa njaa kali, ni wewe
ulinifuta machozi wakati wa huzuni, ni wewe baba (aah)
[pre chorus]
ina mengi dunia na ina siri nzito
hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
furaha na faraja imenijia yesu
[chorus]
umenifaa, umenijaa, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
umejibu maombi yangu, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
[verse 2]
umetarafu na matendo ya wanadamu
kwa neno la midomo yako
umeniepusha na njia za wenye jeuri
nyayo zangu zi kwako
nitatengeneza nawe
nitajiimarisha nawe
kwa kinywa changu nitakiri
ulivyo uaminifu wako
[pre chorus]
ina mengi dunia na ina siri nzito
hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
furaha na faraja imenijia yesu
[chorus]
umenifaa, umenijaa, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
umejibu maombi yangu, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
[bridge]
nipokee vumbi nifute
nishike nisiaibika
nipokee vumbi nifute
nishike nisiaibike
[outro]
wakati wa shida
wakati wa shida
wakati wa shida
wakati wa shida
yesu unisaidie
letras aleatórias
- letra de jubilation bells - the kinnardlys
- letra de mankiller - osaka punch
- letra de the may queen (bonus track) - richard thompson
- letra de paradox - king skam
- letra de deep rotting fear - justice for the damned
- letra de так надо (it is necessary) - дима бамберг (dima bamberg)
- letra de except you - sofa express
- letra de how do you feel? - mark genesis
- letra de pretty woman - robbie williams
- letra de urgant - pantheon