
letra de namwachia - maua sama
[verse 1]
yangu furaha, imegeuka majuto
kicheko kimegeuka kilio
ila ninaamini wema hauozi umenipa mazito, me naumia hey
nilijua utanifuta machozi umenipa majonzi, me nalia
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w-ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
[verse 2]
nilikupa muda na vyote vilivyo vyangu
ila malipo ya yote kunitukanisha na ndugu zangu
kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
nimelijua sawa
moyo w-ngu umeuchakaza
umehondomola mpaka gunzi
wema umenilipa ubaya
sitoshindwa hata tukionana
kuachana sio uhasama
sintothubutu kuzozana nimekunawa
nakuombea kheri salama
umpate yule mtakae wezana
k-mbuka kugunga zipu bwana msije kwazana
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w-ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
letras aleatórias
- letra de ardente aeterna - kiss of betrayal
- letra de i'm sorry - gee yuhh
- letra de white christmas - gwen stefani
- letra de giovane g - jack out
- letra de lac - quoc thien
- letra de intro - willy j "the prisoner of hope"
- letra de i don't know - liam sturgess
- letra de somewere - lect
- letra de sólo el sol - bamboo (mexican band)
- letra de twenty10 - eros (pop)