
letra de ni neema lyrics - prince danniel
vers 1
ulibadili ile hali ya kua mpweke kiundani ukafanya mpya amani wanadamu wakashangaa..
ulimpo nitoa kwenye giza bwana wanadamu wakabaki jiuliza vipi amefika hapa wakati tuliziba milango
nimetoka kwenye jua lile liloniwakia moyoni.. maumivu dharau shida masimango..
bridge-
ulivyo nitoa chini (ukanibariki)
shida za mwilini (ukaziondoa)
na walipo nichoma (ukanifariji)
nikainuaaa sasa nashukuru..
chorus-
ni neema ni neema ni neema
kua hapa kuna wengine hawaj-pafikia. sio kwamba mimi ni mwema
ni neema ni neema ni neema
kua hai kuna wengine wameshapotea . sio kwamba mimi ni mwema
vers 2
yesu ungelikua mwanadamu ningeshakuf-ga..
yesu ungetalitazama maisha yangu
ungeshanifutaga
thamani ya mwanadamu kwenye dunia imebebwa na kitu
thamani ya mwanadamu kwenye dunia imebebwa na vitu
ilianzia edeni ulipofanyika ubaya kutoka kwa kaini bila uoga baba…
ila ukujali hayo ukasamehe ukarudisha upendo baba
bridge-
ulivyo nitoa chini (ukanibariki)
shida za mwilini (ukaziondoa)
na walipo nichoma (ukanifariji)
nikainuaaa sasa nashukuru..
chorus-
ni neema ni neema ni neema
kua hapa kuna wengine hawaj-pafikia. sio kwamba mimi ni mwema
ni neema ni neema ni neema
kua hai kuna wengine wameshapotea . sio kwamba mimi ni mwema
letras aleatórias
- letra de 3am cow saliva supremacy - lilbigpain, 3xstacy, krebs
- letra de trust me - tfemi
- letra de the meaning of life - alenka manka
- letra de get away - michalis rakintzis
- letra de vision - majestic dre
- letra de insta love - l-pro [pl]
- letra de you say - alejandro
- letra de something to come - sunsmoke
- letra de body snatcher - xander sol
- letra de the worship song song - shama mrema