letra de napotokea - ksonrap
Loading...
napotokea nikisanga nilipo panga;
kipohuku kilichomtoa manyoya kanga;
mbele kwa mbele wananchi wanaisoma namba;
vyuma vimekaza tumekonda;
hakuna wakusubiri majibu angaza;
utakacho kiona hutakiwi kutangaza we nyamaza;
sekunde tu wanakinukisha kama hamza;
miujiza zaid ata ya mwamposa bulldozer;
wazee wakupuliza chumaulete kwenye mtaji wakaranga;
mpak vibabu vinavuta kushabu tu maganja, mirungi vina chanja;
kabla huj-pigwa ndumba wahi wewe kwa waganga;
hatulali kwa raha juu ya bati sauti tu za paka;
kila mtu anakunja huku hakuna atakae kupa dili za mkwanja;
utagonga mwamba full ngwamba huku huwezi tamba;
alie iga kunya kwa tembo huku alichanika msamba..
letras aleatórias
- letra de wokwardth/bitches - sociedade do nite
- letra de brev i snön - johan lindell
- letra de tout s'éteint - kaonefy
- letra de calling me back - quinten nathaniel
- letra de molly & l.s.d. - schoob xavier
- letra de ki tudja látlak-e - mario [hu]
- letra de internet overdrive?? - sick.kidd
- letra de gan meir - גן מאיר - dana berger - דנה ברגר
- letra de way down - nick doxa
- letra de save you - reese van riper