
letra de nazama - jay melody
[intro]
mmmh once again
mmmh naitwa once again
onaah nananaaah
[verse 1]
mapenzi ya usiku
sio kama ya mchana
usiku kigiza flani
mchana tunaonana
halafu kipaji anhaa
amempa maulana
ananionesha michezo ambayo sijawahi ona
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
[verse 2]
hivi kwanini ukiitwa honey
unasikia raha mpaka ndani oh
hadi unatamani uiskie milele maishani
namaanisha sio utani
huu upendo umenipa amani
wengine wanafika mbali
eti mapenzi majani
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
letras aleatórias
- letra de demon season - ddb ricco
- letra de tumoresque - terminal bliss
- letra de cintanya aku - tiara andini, arsy widianto
- letra de sugar rush - myah marie
- letra de sing wood to silence - sóley
- letra de purple turtleneck - kevin creel
- letra de valentine in december - slim gutz
- letra de ur girlfriend's nightmare - myah marie
- letra de remember that night? (acoustic) - sara kays
- letra de fnafz - phantex