letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de niangalie - edward's okoth bryan (ethan muziki)

Loading...

aah
aah
aah
aah (mmh, mmh)

[verse 1] [kethan & wanavokali]
kuna wenye vitabu
kuna wenye hesabu
wengine tulibarikiwa sauti na kalamu
ninavyojijua, huwa napenda hadi mwisho
kwa yale machache najivunia
moja ni kukuita w-ngu, ooh-ooh

wengi walifanya nikadhani sitawahi kupenda
ila wewe umenionyesha, ninaweza kupendwa
na wengi wakasema eti sitawahi weza kuweza
ona vile tunaishi hii life bila pressure

[pre-chorus] [wanavokali]
kama unataka, penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo-kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [kethan & wanavokali]
nia- nia-, nia- nia-
niangalie, niangalie
nia- nia-, nia- nia-
niangalie, niangalie (niangalie)
[verse 2] [kethan & wanavokali]
we wa thamani kuliko shaba
ningetamani nikuite lover
hakuna jambo linaloweza
kunitеnganisha na penzi lako
unachotaka umekipata
utapokwenda nitakufuata
i will always bе yours
you will always be mine
till the end of time

[bridge] [wanavokali]
na-aah-aah-aah-aah, nakupenda
na-aah-aah-aah-aah, nakupenda

[pre-chorus] [kethan & wanavokali]
kama unataka penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo-kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [wanavokali]
nia-, nia- (aah-aah-aah-aah)
ooh niangalie, niangalie
nia-, nia-, ooh (nia- nia-, aah-aah-aah-aah)
niangalie (aah, nakupenda)

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...