letra de sina - eddy bleyz
[intro]
eddy bleyz
iyeeh!! iyeeh!!
music playing…
[verse 1]
namshukuru mola baba
kunipatia uzima na afya
kwani ni wengi wameomba
alfajiri kushapambazuka
jua lang’aa, linaangaza
ila wengine ni wagonjwa
kidogo nipatacho
kushukuru ni lazima
maana sijui kesho
riziki natafuta
maana ya mola mengi
imani nitapata
siku zinapita
miezi kwa miaka
imani nitatoboa
[chorus]
sina
tabia za unafiki
sina
majivuno jivuno
sina
yale ya kuunga unga
(oweeeeh!)
sina
chuki, fitina
sina
kishingo upande, vinyongo
sina
mambo ya sokoto
(oweeeeh!)
music playing…
[verse 2]
namk-mbuka mama
aliniasa mwana
nizidi kupambana
maana ya dunia ni mengi
wala sijui kesho nita kuwa wapi
eeeh baba, zidi kuniangaza
ya dunia yasiniteke
kipaji nilichonacho
nitakitumia vyema
nisije kata tamaa
kwani mengi yamesemwa
yakukatisha tamaa
ila sitianguka kamwe
kusali nitasali
na zaka nitatoa
maana mungu pekee muweza
[chorus]
sina
tabia za unafiki
sina
majivuno jivuno
sina
yale ya kuunga unga
(oweeeeh!)
sina
chuki, fitina
sina
kishingo upande, vinyongo
sina
mambo ya sokoto
(oweeeeh!)
[verse 3]
mida nayo inakimbia
(kimbiaa!)
kesho kutwa nitaitwa mzazi
vipi kama sina maadili
watoto nao wakanikimbia
familia ikaanza poromoka
nami nikaishia kujutia
sapoti mnazonipa
dua kwa mola naomba
nisije wasahau kamwe
kufunga nitafunga
na sala nitasali
maana makuu ya mola ni mengi
[chorus]
sina
tabia za unafiki
sina
majivuno jivuno
sina
yale ya kuunga unga
(oweeeeh!)
sina
chuki, fitina
sina
kishingo upande, vinyongo
sina
mambo ya sokoto
(oweeeeh!)
music playing…
letras aleatórias
- letra de take me higher - bliss n eso
- letra de sçs-y - efekan onan
- letra de lindsay - saez
- letra de chelou - la mbr
- letra de i was a landscape in your dream (remastered 2025) - of montreal
- letra de pulcinella pegasi - black dahlia
- letra de fishbowl - grouplove
- letra de дай мне (give me) - nk
- letra de capitol c freestyle - ethab
- letra de gid - ysky!