
letra de nimechoka - bonge la nyau
[intro: bonge la nyau]
whoa
mac
expensive rapper
silvana
i love you, baby girl
[verse 1: silvana]
h-llo, h-llo, ma
wazima huko nyumbani?
mi na homa, hali yangu mi tafarani
natamani’ kurudi nyumbani, tuishi kama zamani
maana’ mi nautesa moyo, kila siku kujiliza ndani
na presha mie
mwanaume gani kisirani
maana’ mi nautesa moyo, kila siku kujiliza ndani
na presha mie
mwanaume gani kisirani
[chorus: silvana]
sasa nimechoka
naondoka
sasa nimechoka
naondoka
<>
yes
[verse 2: bonge la nyau]
uh, sijui hata kwanini baby huniamini
nnapokuwa mbali na wewe, unajua mi na cheat
wewe w-ngu mimi, basi baby jiamini, nnapokuwa mitikasi hata simu mi sishiki
siwezi sema tena, “basi”
nkakata tamaa, ntatuliza yangu nafsi, iliniponza tamaa
(?mcha pro max), danga la kitaa
mtaka nyingi kwa pupa, moyo umeuachia balaa
mi bado kijana sana, ujana mama
ntapambana sana baby usije nikataa
ah, makundi bwana, starehe za ujana
vishawishi vya dunia nishavikataa
i’m sorry
[chorus: silvana]
sasa nimechoka
naondoka
sasa nimechoka
naondoka
[bridge: silvana]
nimechoka kulia
vurugu mechi’ ndani hapakaliki
una gubu, baba wee
(baba wee)
bora tu kutulia
ya sasa sio ya zamani, hayatamaniki
hii nafasi niigawe
eeehh…
[chorus: silvana]
sasa nimechoka (nimechoka, nimechoka)
naondoka (naondoka’ narudi kwa mama)
sasa nimechoka (nimechoka, nimechoka)
naondoka (naondoka’ narudi kwa mama)
sasa nimechoka (nimechoka, nimеchoka)
naondoka (naondoka’ narudi kwa mama)
sasa nimechoka (nimechoka, nimechoka)
naondoka (naondoka’ narudi kwa mama)
letras aleatórias
- letra de mojo back - switchotr
- letra de bitter sour - household
- letra de party t1me - de plug
- letra de monge - thz (jf)
- letra de the bad touch (the god lives underwater mix) - bloodhound gang
- letra de редкая (rare) - scanplug!
- letra de sunbathing in the rain - pedro sandiego
- letra de gru8y chuy - playboi maki
- letra de sadness don't own me - live - the staves
- letra de no such thing as a happy holiday - daily carson