letra de nahodha - ali kiba
[intro]
yo!
yeah, baba
ma feeling make it
[verse 1]
najiona wa ajabu, eh
nikijitazama
hivi naota, ah
ama nachanganyikiwa?
joto nalo la shuka digiri
waliniliza tbt
na moyo w-ngu nishakupa na’
[chorus]
na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post-chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
[bridge]
(ah!)
[verse 2]
kama mapenzi ni jihad
tuko peponi
kwa jinsi tulivyo pambana na hali, ‘yetu rohoni
kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
wanaosubiri tuachane hata kesho
sisi bado
[pre-chorus]
sisi bado
oh, oh, oh
oh, sisi bado
kuachana sisi bado
sisi bado, woah, woah, oh, wah
sisi bado, woah
[chorus]
kwani na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post-chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
oh, ah
the mix k!ller
letras aleatórias
- letra de save my soul (cypher uk remix) - kristine w
- letra de mor anka - philemon arthur and the dung
- letra de uciekam - b.r.o (pl)
- letra de au seuil des ténèbres (frozen shadows cover) - monarque
- letra de manágua - cláudio nucci & zé renato
- letra de esencia de vida - makiza
- letra de i hadn't anyone till you - judy garland
- letra de backpack - vegas jones
- letra de more than make believe - joe pisapia
- letra de juicio final - héctor “el father”