letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de mshumaa - ali kiba

Loading...

[verse 1]
ule ugonjwa ulioniacha nao, bado sij-pona
hata mapenzi ulioniacha nayo, yamebaki jina
hospitali oh, za dunia nzima
nimezunguka kote, wamepima majibu hakuna

[pre chorus]
hata ngoma sina(sina oh)
pressure sina(sina eh)
ugonjwa sina(sina)
jina lako ninalo
uwepo wako
ndo ulikuwa w-ngu uzima
naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

[chorus]
alioo iyo
nak-miss…
tena! tutonana
tena! hata mungu akipanga leo
tena! nikufe kesho
tena! tutaonana tena
tena! ifike kesho uliamba
tena! waniweke kwa mchanga
tena! nikufe kesho
tena! ali oh
[verse 2]
labda nikuk-mbushe, nilipokuvisha pete
ulisema machache, hauniachi mpaka nife

[pre chorus]
maana ngoma sina(sina oh)
pressure sina(sina eh)
ugonjwa sina(sina)
jina lako ninalo
uwepo wako
ndo ulikuwa w-ngu uzima
mi naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

[chorus]
alioo iyo (iyo)
nak-miss (iye iye)
tеna! tutonana
tena! hata mungu akipanga leo
tena! nikufе kesho
tena! tutaonana tena
tena! ifike kesho uliamba
tena! waniweke kwa mchanga
tena! nikufe kesho
tena! ali oooh

[outro]
tiriri tirara tata
tarari tara (tarata taruru tata)
tiririri tirara
tororororo
tororororo
ali oh
ali oh
ali
ali oh

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...