letras.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

letra de monday to sunday - rich dad

Loading...

wanasema saka saka udake wa kuvimba
maskini hana chake pesa inatulinda
mjini hatuna kitu ila kung’oa inapendeza
skuizi tunavimba kubembelezana zilipendwa
sie wengine tumezaliwa uswazi
tukipataga zali huwaga tunamwaga radhi
mizuka mingi kuchele ndanda na kazi
tukiskia kimenuka ndo tunachange mavazi

tunapochomeka jua kwa mambo ya fedha
nkipata manzi nua kwa supu ya pweza
leo club nararua sihofu kucheza
kama bia za kitonga vile nateleza
(swing)

chorus
hakuna kubana bana
maisha nasonga bana
niko free nazo nyachi nachanga bana
monday to sunday
because of god im free yeah -2

hakuna kubana bana maisha nasonga bana
niko free nazo nyachi nachanga bana

verse 2
nagusa vingi kama n-z-ni ndotoni
siwezi lala si unajua kunazo kuku batani
(ahhh)
mizuka mingi kama mganga tapeli
mida ya watoto wa mbwa kuku wamefungwa bandani

vile tumehustle (all the way up)
swing kwenye beat baby gal show me what u got
hizi pesa za mawazo (mixer na shida)
mtoto akitakaga goma ni taekwondo za china

tuliza mtori nyama ziko down down
down town hakuna kitu utaoffer kwa easy fam
run town bila mishe huku mtaani unaishia kuoffer man down
huna pesa af unataka ustar town
mad mind
mapenzi humaliza ham na akili
ndo maana nkipata uzima nazamaga mpaka realy
sinaga tamaa na ndala nyingi za mjini
mwanamke tabia sura na shape juu mpaka chini

chorus

bridge
oya wanangu tena tunaji boost
tunajiboost kwa mda.. -4

chorus
..——– end——–

letras aleatórias

MAIS ACESSADOS

Loading...